ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • Askofu Dkt. Msafiri  Mbilu, Ziarani Nchini Ujerumani

    Askofu Dkt. Msafiri Mbilu, Ziarani Nchini Ujerumani

    Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt. Msafiri Joseph Mbilu yupo katika ziara ya kikaz...
  • Askofu Dkt. Mbilu, kuhusu zoezi linaloendelea la kuchukuwa maoni juu ya Katiba  Mpya ya KKKT

    Askofu Dkt. Mbilu, kuhusu zoezi linaloendelea la kuchukuwa maoni juu ya Katiba Mpya ya KKKT

    Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amepongeza ka...
  • Dean Mstaafu Michael Kanju akabidhi rasmi  majukumu ya ofisi ya Msaidizi wa Askofu KKKT-DKMs  kwa Dean Mteule Frank Mntangi.

    Dean Mstaafu Michael Kanju akabidhi rasmi majukumu ya ofisi ya Msaidizi wa Askofu KKKT-DKMs kwa Dean Mteule Frank Mntangi.

    Dean Mteule Frank Richard Mntangi, ametambulishwa rasmi katika Makao Makuu ya Ofisi ya KKKT-Dayosisi...
  • KKKT Marathon June 21,2025, Kimbia kwa Moyo, Saidia kwa Upendo.

    KKKT Marathon June 21,2025, Kimbia kwa Moyo, Saidia kwa Upendo.

  • Mch. Frank Richard Mntangi Dean Mteule KKKT-DKMs

    Mch. Frank Richard Mntangi Dean Mteule KKKT-DKMs

    Wajumbe 217 kati ya 246 wa Mkutano Mkuu wa tano (5) baada ya Jubilee ya miaka 125 ya Injili KKKT-Day...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Mkuu wa KKKT awataka Wakurugenzi wa Taasisi za Kanisa kuwa wabunifu katika uendeshaji wa Taasisi hizo

  • Print
Details
Published: 18 November 2024

HABARI KWA UFUPI

Mkuu wa KKKT Askofu Dkt. Alex Malasusa amewataka Wakurugenzi wa Taasisi za Kanisa kuwa wabunifu katika kuendesha Taasisi hizo pamoja na kujifunza kwa wengine ili kuongeza ufanisi na kuweza kufanya vizuri katika kutoa huduma bora kwenye jamii.

Hits: 3416

Read more ...

MAHUBIRI YA JUMAPILI YA TAREHE 17.11.2024 SIKU YA BWANA YA 2 KABLA YA MAJIRIO

  • Print
Details
Published: 17 November 2024

NENO KUU: JIANDAE KWA HUKUMU YA MWISHO

NENO LA MAHUBIRI: Mathayo 25:14-30

UTANGULIZI

Leo ikiwa ni jumapili ya pili (2) kabla ya kuingia katika kipindi cha MAJIRIO, majira ambayo wakristo wote ulimwenguni wanayaangalia mambo makubwa mawili 1. Kukumbuka ujio wa kwanza wa Bwana Yesu hapa ulimwenguni ambapo miaka zaidi ya 2000 iliyopita alizaliwa na kuleta ukombozi kwa kila mtu aliyemuamini na wanaoendelea kumuamini hata sasa. 2. Jambo la pili ambalo sisi wakristo tunaliangalia katika majira haya ni maandalizi yetu kwa ajili kumpokea Bwana Yesu katika ujio wake wa pili, ambapo analijia kanisa lake katika hukumu ya mwisho.

Hits: 3270

Read more ...

Ibada ya Kipaimara Usharika wa Muheza , Youths Confirmation at Muheza Lutheran Parish

  • Print
Details
Published: 03 November 2024
HABARI KWA UFUPI:Ibada ya Jumapili Sikukuu ya Watakatifu iliyoongozwa na neno kuu lisemalo sisi ni wenyeji wa Mbinguni, Ibada imefanyika leo tarehe 03/11/2024 katika Jimbo la Tambarare Usharika wa Muheza na kuongozwa na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu.
 
Hits: 3215

Read more ...

Askofu Dkt. Mbilu:- jiungeni na Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS)

  • Print
Details
Published: 02 November 2024
 
Tarehe 02/11/2024 Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, alipatanafasi ya kuitembelea SACCOS ya Tumaini KKKT Handeni Savings and credit co-operative Society Ltd, iliyopo katika Jimbo la Magharibi Usharika wa Handeni kwa lengo na kuona namna SACCOS hiyo inavyoendeshwa.
 
Hits: 2936

Read more ...

  1. Siku ya Kukumbuka Matengenezo ya Kanisa (Reformation)
  2. Wanawake wajengewa uwezo kujikwamua kiuchumi
  3. Askofu Dkt.Mbilu awataka wazazi na walezi kuwapeleka Watoto wao Shule ya Sekondari Lwandai
  4. ASKOFU DKT.MBILU AONGOZA KIKAO CHA BODI YA KOTETI NA WADHAMINI

Page 6 of 127

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • ...
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • ...

Back to Top

© 2025 ELCT North Eastern Diocese