ELCT North Eastern Diocese
Ziara ya kikazi ya Baba Askofu Dkt. Mbilu, Usharika wa St. Marien Minden nchini Ujerumani
- Details
- Hits: 1491
Marafiki wa Jimbo la Tambarare Vlotho Ujerumani wakutana na Askofu Dkt.Mbilu.
- Details
Mwendelezo wa Ziara ya Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, tarehe 08/03/2024 amefanya ziara katika Jimbo la Vlotho nchini Ujerumani lenye urafiki na Jimbo la Tambarare la KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. KATIKA PICHA, ni miongoni mwa Wajumbe wa Kamati ya Uhusiano chini ya Mwenyekiti wao Mch. Markus Freitag.(wa kwanza kutoka kulia).
Mwenyekiti wa Undugu kati ya Jimbo Vlotho nchini Ujerumani na KKKT-DKMs Jimbo la Tambarare ,Mch. Markus Freitag (wa kwanza kutoka kushoto), mwenzi wa Askofu Dkt. Mbilu Mwl. Marry Jally (wa pili kutoka Kushoto), Askofu Dkt. Msafiri Mbilu (wa tatu kutoka Kushoto) pamoja na mwezi Mwenyekiti wa Undugu Mch. Markus Freitag, (wa nne kutoka Kushoto).
- Hits: 1580
Mkuu wa Kurugenzi ya Uhusiano wa Kimataifa kutoka Ujerumani kuitembelea KKKT-DKMs mwezi Julai 2024.
- Details
- Hits: 1867
Mwendelezo wa ziara ya Askofu Dkt. Msafiri Mbilu nchini Ujerumani.
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, ambaye yupo ziarani nchini Ujerumani anaendelea na ziara yake na leo tarehe 05/03/2024 amekutana na kufanya mazungumzo na marafiki wa Dayosisi yetu. Katika picha ni sehemu ya watumishi mbalimbali waliowahi kufanya kazi kwenye Hospitali ya Wagonjwa wa akili ya Lutindi Mental Hospital, inayomilikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.
- Hits: 1746
Page 6 of 109