ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • Askofu Dkt. Mbilu Aongoza Kikao Kazi cha Wachungaji

    Askofu Dkt. Mbilu Aongoza Kikao Kazi cha Wachungaji

    Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, ameongoza kikao kazi cha W...
  • TUZO YA PONGEZI KWA KUCHANGIA DENI LA DAYOSISI

    TUZO YA PONGEZI KWA KUCHANGIA DENI LA DAYOSISI

  • Heri ya Mwaka Mpya 2026

    Heri ya Mwaka Mpya 2026

  • Askofu Dkt. Mbilu  Akabidhi Gari 1 kwa Kituo Cha Lutindi Mental Hospital

    Askofu Dkt. Mbilu Akabidhi Gari 1 kwa Kituo Cha Lutindi Mental Hospital

  • ELCT-NED FAMILY BONANZA 2025

    ELCT-NED FAMILY BONANZA 2025

    ELCT-NED FAMILY BONANZA, lililoratibiwa na Kurugenzi ya Uchumi, Mipango na Maendeleo Kanisa la Kiinj...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Ufunguzi wa Kanisa KKKT-Dayosisi ya Pare Usharika wa Same

  • Print
Details
Published: 27 July 2025

Hits: 4564

Msaidizi wa Askofu Atoa Wito kwa Halmashauri Mpya ya Mipango na Fedha KKKT-DKMs

  • Print
Details
Published: 26 July 2025

Habari kwa Ufupi Lushoto, Tanga – Msaidizi wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), Mch. Frank Richard Mntangi, amewataka wajumbe wa Halmashauri mpya ya Mipango na Fedha ya KKKT-DKMs kuweka mbele maslahi mapana ya Dayosisi katika utekelezaji wa majukumu yao. Amesisitiza kuwa Halmashauri hii ni "moja ya moyo wa maendeleo" ndani ya Dayosisi.

Hits: 4459

Read more ...

Askofu Dkt. Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Viongozi wa juu wa UEM

  • Print
Details
Published: 23 June 2025

#HABARI: Juni 23, 2025, Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt. Msafiri Joseph Mbilu ameendelea na ziara yake ya kikazi nchini Ujerumani na amekuwa na vikao muhimu sana vinavyolenga kuimarisha ushirikiano kati ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki na UEM, pamoja na kujadili fursa za maendeleo na ushirikiano katika nyanja mbalimbali.

Kwa nyakati tofauti Baba Askofu Dkt. Msafiri Mbilu, amekuwa na vikao na Katibu Mkuu wa UEM, Mch. Dkt. Andar Parlindungan, Naibu Katibu Mkuu UEM anayesimamia Bara la Africa Mch. Dkt. John Wesley Kabango, Mkurugenzi wa Fedha wa UEM, Bwana Timo Pauler pamoja na iliyewahi kuwa meneja wa shamba la Irente farm miaka ya 1991 na kuendelea Bwana Mr. Jeans Pfeil .

UEM: United Evangelical Mission ni chama Cha kiinjili Cha kimisioni kilicho anzishwa mnamo mwaka 1996 na Wamisionari kutoka Ujerumani wa Rhenish na Betheli ambao walifika Africa, na Asia kwa ajili ya kuanzisha shughuli za Dini. Katika Africa walifika katika nchi 7 ambazo ni Tanzania, DR Congo, Africa ya Kusini, Botswana, Cameroon, Namibia na Rwanda kukiwa na madhehebu 15. Katika Tanzania UEM inawakilishwa na Makanisa 4 ya KKKT ambayo ni KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Magharibi, KKKT-Dayosisi ya Mashariki na Pwani pamoja na KKKT-Dayosisi ya Karagwe.

Tufuatilie kwenye mitandao yetu ya kijamii
INSTAGRAM - / elctned
FACEBOOK ACCOUNT North Eastern Diocese
FACEBOOK PAGE - ELCT-North Eastern Diocese
YOUTUBE - / KKKT DKMS Online TV
WEBSITE: www.elctned.org
KWA MAONI NA USHAURI:
Simu : +255 743 399 798

 

Hits: 5610

Mwendelezo wa Ziara ya kikazi ya Askofu Dkt. Msafiri Mbilu, nchini Ujerumani

  • Print
Details
Published: 17 June 2025

Juni 17, 2025 Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, ameendelea na ziara yake nchini Ujerumani na amekuwa na Kikao na Mkuu wa Jimbo la Vlotho Mch. Dorothea Goudefroy katika Ofisi ya Jimbo la Vlotho unaitwa Tambarare. Siyo jambo jepesi kupata jina la Mtaa kwenye nchi ya Ujerumani kwani ni lazima vikao vingi vifanyike na mapendekezo yakapitishwe na Wizara inayohusika kwa ngazi zao. Mtaa huu ulizinduliwa Mwaka 2011. Askofu Dkt. Mbilu alishiriki kwenye siku ya Uzinduzi wa Mtaa huu wakati akiwa Mwanafunzi wa PhD nchini Ujerumani.Wakati huo alialikwa kama mwana DKMs kuwa mmoja wa wanaoshirikiana na Meya wa Vlotho pamoja na Mkuu wa Jimbo la Vlotho wa wakati huo Andreas Hunnecke kuzindua Mtaa huu.

Hits: 4900

Read more ...

  1. Ziara ya kikazi ya Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, nchini Ujerumani
  2. Dean Mteule Mntangi asisitiza haki na ustawi wa watu wenye ulemavu kupewa kipaumbele katika jamii
  3. Opening Ceremony Disability Sensitization Workshop
  4. Ziara ya kikazi ya Askofu Dkt. Mbilu Vituo vya huduma Irente

Page 6 of 134

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • ...
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • ...

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese