ELCT North Eastern Diocese
Ibada ya Kipaimara Usharika wa Bumbuli , Youths Confirmation at Bumbuli Lutheran Parish
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt Msafiri Joseph Mbilu, ameongoza Ibada ya kuwabariki Vijana wa Kipaimara,uwekwaji wa jiwe la msingi la nyumba ya mtumishi pamoja na Ubatizo, Ibada iliyofanyika katika Jimbo la Kusini Usharika wa Bumbuli leo tarehe 13/10/2024.
- Hits: 1894
Ibada ya Kipaimara Usharika wa Mombo , Youths Confirmation at Mombo Lutheran Parish
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt Msafiri Joseph Mbilu, amewapongeza Washarika wa Usharika Mombo kwa namna wanavyoendelea kujitoa katika kumtumikia Mungu katika kuchangia ulipaji wa deni la Dayosisi pamoja na ujenzi wa Kanisa jipya na la kisasa linaloendelea kujengwa katika Usharika huo.
Ameyasema hayo wakati akitoa salamu zake katika Ibada ya Kipaimara iliyofanyika tarehe 12/10/2024 katika Jimbo la Tambarale Usharika wa Mombo na kuongeza kuwa amefarijika kuona Washarika wa Usharika wa Mombo wanavyojitoa katika kuchangia ulipaji wa deni la Dayosisi na anaamini kwa namna ambavyo kila mmoja anajitoa siku moja deni hilo litakwisha huku akiwasihi kila mmoja kuendelee kujitoa kwa moyo.
- Hits: 2211
Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu asisitiza watoto kufundishwa kanuni za maishi
- Details

- Hits: 1900
Ibada ya Kipaimara Usharika wa Kireti , Youths Confirmation at Kireti Lutheran Parish
- Details


- Hits: 1958
Page 6 of 124