ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • Sehemu ya taarifa,picha za matukio na maelezo  ziara ya Baba Askofu Dkt. Msafiri  Mbilu nchini  Ujerumani.

    Sehemu ya taarifa,picha za matukio na maelezo  ziara ya Baba Askofu Dkt. Msafiri  Mbilu nchini  Ujerumani.

    Tarehe 21/09/2023 akiwa nchini Ujerumani Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu alialikwa kwenye kiwa...
  • Tuungane kwa pamoja kulikabili deni la Dayosisi, Dean Michael Kanju.

    Tuungane kwa pamoja kulikabili deni la Dayosisi, Dean Michael Kanju.

    Msaidizi wa Askofu, KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Michael Mlondakweli Kanju amewashukuru...
  • KATIKA PICHA, Mkutano Mkuu wa Fungamano la Makanisa ya Kilutheri Duniani uliomaliziki hivi karibuni.

    KATIKA PICHA, Mkutano Mkuu wa Fungamano la Makanisa ya Kilutheri Duniani uliomaliziki hivi karibuni.

    Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu akiwa na Cardinal Kurt Koch, ambaye alipata nafasi ya kufika k...
  • Ibada ya Kipaimara Usharika wa Kabuku, Jimbo Teule la Magharibi

    Ibada ya Kipaimara Usharika wa Kabuku, Jimbo Teule la Magharibi

    Msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Michael Mlondakweli Kanju amewaasa Wash...
  • MATUKIO KATIKA PICHA- Kutoka Usharika wa Źory nchini-Poland

    MATUKIO KATIKA PICHA- Kutoka Usharika wa Źory nchini-Poland

    Matukioa katika picha Ibada ya Jumapili ya tarehe 17/09/2023, katika Usharika wa Źory nchini Poland,...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Kiongozi wa mbio za Mwenge 2023 aridhishwa na ujenzi wa choo katika Shule ya Msingi Lushoto.

  • Print
Details
Published: 14 June 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto imeupokea Mwenge wa uhuru leo tarehe 14/06/2023 ukiongozwa na kiongozi wa mbio za Mwenge 2023, Ndg Abdalla Shaib Kaim huku akikagua na kufungua miradi mbalimbali.

Ndugu Abdalla Shaib Kaim aliridhishwa na ujenzi wa choo cha matundu sita kinachojengwa katika Shule ya Msingi Lushoto, ambapo mara baada ya kukagua nyaraka za ujenzi huo aliridhia kuweka jiwe la Msingi.

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Dkt Msafiri Joseph Mbilu alikua miongoni mwa viongozi wa Wilaya ya Lushoto katika kupokea mwenge huo na alipata wasaa wa kufanya maombi na kutoa baraka zake kwa viongozi hao wa Mwenge.

Askofu Dkt. Msafiri Mbilu akisalimiana na kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Ndg. Abdalla Shaib Kaim.

Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu akifanya maombi na viongozi wa Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2023.

Sehemu ya faida za Mwenge wa Uhuru Kitaifa na Kimataifa ni pamoja na kuendelea kuhamasisha ari ya wananchi kujitegemea na kuwekeza katika maeneo mbalimbali katika Taifa letu. Kauli Mbiu katika Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa Mwaka 2023 ni “Tunza Mazingira, Okoa Vyanzo vya Maji kwa Ustawi wa Viumbe Hai na Uchumi wa Taifa.”

Hits: 2468

Safari ya mwisho ya Mzee Karata mwili wali wake waziku Old Korogwe-Tanga

  • Print
Details
Published: 13 June 2023

PICHA ZA MATUKIO mbalimbali ya Ibada ya Mazishi ya Marehemu Mzee Moses Gao Karata, yaliyofanyika leo tarehe 13/06/2023 katika Jimbo la Tambarare Usharika wa Mtonga, Ibada imeongozwa na Msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch. Michael Kanju akishirikiana na Mkuu wa Jimbo la Tambarare, Mch Frank Mtangi.

Hits: 1807

Read more ...

TANZIA- Baba Mzazi wa Mchungaji William Karata wa Usharika wa Mtonga amefariki dunia

  • Print
Details
Published: 10 June 2023
Ufunuo 14:13 “Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao”.
Katibu Mkuu wa KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mwl. Julius Madiga kwa niaba ya Uongozi wa KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki anasikitika kutangaza kifo cha Mzee Moses Gao Karata kilichotokea usiku wa kuamkia leo tarehe 10/06/2023 katika Hospitali ya Ocean Road-Dar Es Salaam alipokuwa anapatiwa matibabu.
Hits: 1833

Read more ...

Matukio katika picha.

  • Print
Details
Published: 09 June 2023
 
Hitimisho ya ziara ya ugeni kutoka Vyuo Vikuu vitano vilivyomuwakilisha Profesa Dkt. Ulrike Ludtke aliyewahi kuwa  mhadhiri wa kilichokuwa Chuo Kikuu cha Sebastian Kolowa Memorial University (SEKOMU) mwaka 2008, ametembelea Dayosisi kwa makubaliano kati ya KKKT-DKMs na  chama Cha kiinjili Cha Kimisioni (UEM: United Evangelical Mission) kwa lengo la kuanzisha kozi ya Lugha na mawasiliano (Speech and language therapy).
Hits: 1701

Read more ...

  1. Askofu Dkt. Mbilu apokea ugeni kutoka Vyuo vitano ,vya Muhimbili(MUHAS),KCMC/KCMU,Chuo cha Kenyata
  2. Askofu Dkt. Mbilu awataka wakristo kukemea matendo maovu  yanayojitokeza katika jamii
  3. Pumzika kwa Amani Mwalimu Wahaki Tawi Vesso
  4. Tangazo la nafasi ya kazi Daktari daraja la 2

Page 6 of 91

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • ...
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • ...

Back to Top

© 2023 ELCT North Eastern Diocese