ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Marafiki wa Jimbo la Tambarare Vlotho Ujerumani wakutana na Askofu Dkt.Mbilu.

  • Print
Details
Published: 08 March 2024

Mwendelezo wa Ziara ya Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, tarehe 08/03/2024 amefanya ziara katika Jimbo la Vlotho nchini Ujerumani lenye urafiki na Jimbo la Tambarare la KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. KATIKA PICHA, ni miongoni mwa Wajumbe wa Kamati ya Uhusiano chini ya Mwenyekiti wao Mch. Markus Freitag.(wa kwanza kutoka kulia).

Mwenyekiti wa Undugu kati ya Jimbo Vlotho nchini Ujerumani na  KKKT-DKMs Jimbo la Tambarare ,Mch. Markus Freitag (wa kwanza kutoka kushoto), mwenzi wa Askofu Dkt. Mbilu Mwl. Marry Jally (wa pili kutoka Kushoto), Askofu Dkt. Msafiri Mbilu (wa tatu kutoka Kushoto) pamoja na mwezi Mwenyekiti wa Undugu Mch. Markus Freitag, (wa nne kutoka Kushoto).

Hits: 9253

Mkuu wa Kurugenzi ya Uhusiano wa Kimataifa kutoka Ujerumani  kuitembelea KKKT-DKMs mwezi Julai 2024.

  • Print
Details
Published: 07 March 2024
Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu anaendelea na ziara yake nchini Ujerumani, ambapo leo tarehe 06/03/2024 ametembelea Ofisi Kuu ya Kanisa la Kiinjili la Westphalia. Hili ni Kanisa lenye uhusiano Mkubwa na wa muda mrefu na Dayosisi yetu.
 
Hits: 9347

Read more ...

Mwendelezo wa ziara ya Askofu Dkt. Msafiri Mbilu nchini Ujerumani.

  • Print
Details
Published: 05 March 2024

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, ambaye yupo ziarani nchini Ujerumani anaendelea na ziara yake na leo tarehe 05/03/2024 amekutana na kufanya mazungumzo na marafiki wa Dayosisi yetu. Katika picha  ni sehemu ya watumishi mbalimbali waliowahi kufanya kazi kwenye Hospitali ya Wagonjwa wa akili ya Lutindi Mental Hospital, inayomilikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.

Hits: 9157

Askofu Dkt. Mbilu ziarani nchini Ujerumani

  • Print
Details
Published: 29 February 2024

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, yupo ziarani nchini Ujerumani, ambapo akiwa nchini humo atashiriki Ibada ya kumuaga Katibu Mkuu wa chama Cha kiinjili Cha kimisioni (UEM) anayemaliza muda wake Mch.Volker Dally na kuingizwa kazini kwa Katibu Mkuu mpya wa UEM Mch. Dkt. Andar Parlindungan,ambaye awali  alikuwa Katibu mtendaji wa idaraya mafunzona uwezeshajiwa UEM.Ibada itafanyika tarehe 01/03/2024 

Hits: 9115

Read more ...

  1. Kilele mwaka wa Wanawake Askofu Dkt. Mbilu awapongeza kwa kujitoa
  2. Habari njema kutoka BUMBULI
  3. Dean Kanju awashukuru wana KKKT-DKMs, awataka kuwapuuza wapotoshaji juu ya Deni la Dayosisi
  4. Job Opportunity Director of Social services at ELCT -NED head office Lushoto1 Position

Page 34 of 137

  • 29
  • ...
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • ...
  • 36
  • 37
  • 38

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese