ELCT North Eastern Diocese
Askofu Dkt. Mbilu awasihi vijana kugeuza mitandao ya kijamii kuwa fursa
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mhashamu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewataka vijana wa KKKT-DKMs kugeuza mitandao ya kijamii kuwa fursa kwa kuitumia vema kupata maarifa na uzoefu katika nyanja mbalimbali na kujiepusha na matumizi yasiyofaa.
- Hits: 5517
Semina elekezi kwa Sharikani za KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kwa mwaka 2023.
- Details
Msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch. Michael Mlondakweli Kanju amewashukuru na kuwapongeza wachungaji wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kwa kazi nzuri wanazozifanya katika Sharika zao ikiwemo mikutano na semina mbalimbali za neno la Mungu walizozifanya mwaka huu wa 2022.
- Hits: 5841
Wakristo wa KKKT kutoka Ngorongoro wapokelewa rasmi KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Kati Dkt. Solomon Jacobo Massangwa amemshukuru na kumpongeza Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, kwa kukubali kuwapokea washarika wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania waliohama kutoka KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Kati Usharika wa Enndulen-Ngorongoro na kuhamia KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki katika Jimbo la Tambarare Usharika wa Handeni Mtaa wa Msomera.
- Hits: 5453
Askofu Dkt. Msafiri Mbilu atoa wito kwa Kanisa kuwatambua viziwi
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu ametoa wito kwa wachungaji na watumishi wengine wa Kanisa kuwatambua watu wenye shida ya kusikia (viziwi) ili wasiachwe na ujumbe wa neno la Mungu unapohubiriwa.
- Hits: 4965
Page 34 of 107