ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Askofu Dkt. Mbilu ziarani Shule ya Sekondari Lwandai

  • Print
Details
Published: 13 March 2025
 
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amesema uongozi wa Dayosisi unatambua mchango mkubwa wa walimu pamoja na watumishi waliopewa dhamana ya kutumika katika Taasisi za Elimu ndani ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.
Hits: 8093

Read more ...

Pumzika kwa Amani Mama Askofu Elfriede Sebastian Kolowa

  • Print
Details
Published: 06 March 2025

KATIKA PICHA:Mazishi ya Mama Askofu Elfriede Sebastian Kolowa iliyofanyika KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,Usharika wa Kanisa Kuu Lushoto leo tarehe 06/03/2025. Ibada hii iliongozwa na Mkuu wa KKKT Baba Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa.Marehemu, Bibi Elfriede Sebastian Kolowa alizaliwa tarehe 30 mwezi Juni mwaka 1934 huko Bumbuli Salem Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga akiwa Mtoto wa 6 wa Mwalimu Emmanuel Chamshama na Bibi Sarah Shemshi.Mwili mwili wake umepumzishwa leo tarehe 06/03/2025 katika makaburi yaliyopo katika eneo la Kanisa Kuu Lushoto.Sehemu ya historia ya Bibi Elfriede Sebastian Kolowa inaeleza kuwa.

Hits: 8104

Read more ...

Tangazo la kazi Mratibu wa Kituo cha Maendeleo ya Mtoto

  • Print
Details
Published: 28 February 2025

Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya Kilutheri yaliungana na kuunda Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania . Leo hii KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) yenye Makao Makuu Wilayani Lushoto Mkoani Tanga ni miongoni mwa Dayosisi 28 za KKKT. Dayosisi inaitwa hivyo kwakuwa inapatikana Kaskazini Mashariki mwa Tanzania katika Mkoa wa Tanga. Kwahiyo KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) ni taasisi ya kidini iliyosajiliwa tarehe 19 Juni 1963 na Makao yake Makuu yapo Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga. Dhamira ya KKKT-DKMs ni kufundisha na kuhubiri neno la Mungu na kutoa huduma nzuri za kiroho, kimwili, kiakili, kiuchumi na kijamii kwa watu wote. Taasisi hii inatoa tangazo la kazi kwa nafasi moja  ya MRATIBU WA HUDUMA YA MTOTO NA KIJANA (PROJECT COORDINATOR) kwa vijana wote  (Wakristo) 

NAFASI NA WAJIBU WA MRATIBU WA HUDUMA YA MTOTO NA KIJANA (PROJECT COORDINATOR).

1.1 CHILD AND YOUTH DEVELOPMENT CENTER COORDINATOR (CYDC)- MRATIBU WA KITUO CHA MAENDELEO YA MTOTO NA KIJANA.

Hits: 7682

Read more ...

SUA NA KOTETI zaingia makubaliano kuboresha na kukuza taaluma na tafiti katika vyuo hivyo

  • Print
Details
Published: 13 February 2025
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, ambaye pia ni msimamizi Mkuu wa mali za Dayosisi amesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) kati ya Chuo cha Kolowa Technical Training Institute (KOTETI) kinacho milikiwa na KKKT-DKMs na Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), makubaliano yanayolenga kuboresha na kukuza taaluma na tafiti katika vyuo hivyo.
Hits: 8190

Read more ...

  1. Mkutano wa Maaskofu wote wa CCT na TEC
  2. Wakristo watakiwa kutenga muda kutulia Nyumbani mwa Bwana
  3. Pumzika kwa Amani Bibi. Elise David Ngome
  4. Matokeo kidato cha nne Shule ya Lwandai na Bangala zafanya vizuri Askofu Dkt. Mbilu asema zimewapa raha wana KKKT-DKMS

Page 12 of 137

  • 7
  • 8
  • 9
  • ...
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • ...
  • 16

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese