ELCT North Eastern Diocese
Pumzika kwa amani Mchungaji Mpewa Lazaro Ruwa
- Details
Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu tarehe 01/11/2023 ameongoza Ibada ya mazishi ya marehemu Mch. Msataafu Mzee Mpewa Lazaro Ruwa iliyofanyika katika Jimbo la Pwani Usharika wa Makorora Tanga.
Marehemu Mzee Ruwa aliitwa mbinguni tarehe 28/10/2023 akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tanga Bombo na mwili wake umepumzishwa tarehe 01/11/2023 katika makaburi yaliyopo katika eneo la Gofu Tanga.
- Hits: 1927
Ziara ya Rais wa Ujerumani, Frank-Walter Steinmeier, nchini Tanzania.
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Dkt. Msafiri Joseph Mbilu,ni mmoja wa wageni walioalikwa kwenye hafla ya Chakula cha Jioni iliyoandaliwa na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania . Hafla hii ilifanyikia tarehe 31/10/2023 katika ukumbi wa Sea Cliff Hotel Jijini Dar es Salaam ikiwakutanisha wadau mbalimbali wa maendeleo wenye ushirikiano na Ujerumani.Hapa Baba Askofu Dkt. Mbilu alialikwa kwa mwaliko maalumu kutokana na uhusiano mkubwa uliopo na wa muda mrefu kati ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki na Ujerumani.
- Hits: 1714
Ibada ya Kipaimara Usharika wa Tamota, Youths Confirmation at Tamota Lutheran Parish
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki amewashukuru washarika wa Usharika wa Tamota na wanadayosisi kwa ujumla kwa namna wanavyoendelea kushikamana na kujitoa katika kumtumikia Mungu.
- Hits: 1872
Ziara ya kikazi ya Baba Askofu Dkt. Mbilu,katika Jimbo la Magharibi, Usharika wa Gombero
- Details
- Hits: 1946
Page 12 of 105