ELCT North Eastern Diocese
Ziara ya kikazi ya Baba Askofu Dkt. Mbilu,Shule ya Sekondari Lwandai
- Details

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amefanya ziara ya kikazi katika Shule ya Sekondari ya Lwandai inayomilikiwa na KKKT-DKMs iliyopo Lushoto Mlalo leo tarehe 13/08/2024 ikiwa ni mwendelezo wa utaratibu wa Ofisi ya Askofu kutembelea vituo vinavyomilikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.
- Hits: 4744
KKKT yaungana kulikabiri deni la KKKT-DKMs
- Details

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amemshukuru Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa pamoja na Halmashauri Kuu ya KKKT kwa kuja na mpango wa pamoja kwa Dayosisi zote 28 za KKKT kuchangia kulipa deni linaloikabili KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs).
- Hits: 4938
Familia ya marehemu Mzee Saguti wakabidhi nyumba kwa KKKT-DKMs
- Details

Msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mchungaji Michael Mlondakweli Kanju, amewataka Wakristo kujenga moyo wa kujitoa kwa mali,sadaka kwa ajili ya Kristo na Kanisa lake, kwani ipo siri kubwa ya kufanikiwa kwa kujitoa katika kumtumikia Mungu.
- Hits: 4370
Milioni 122 zapatikana Ujenzi wa Kanisa Usharika wa Pongwe Mtaa wa Diary
- Details
HABARI KWA UFUPI TANGA
HABARI KWA UFUPI
Ibada ya Jumapili siku ya Bwana ya 9 baada ya utatu aliyofanyika KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Jimbo la Pwani Usharika wa Pongwe Mtaa wa Diary tarehe 28/07/2024. Ibada ilikuwa na matendo makuu mbalimbali ikiwemo uwekwaji wa Jiwe la Msingi la Kanisa Pamoja na Harambee ya Ujenzi wa Kanisa la Mtaa huo.
- Hits: 4293
Page 12 of 127