ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Mkuu wa KKKT awataka Wakurugenzi wa Taasisi za Kanisa kuwa wabunifu katika uendeshaji wa Taasisi hizo

  • Print
Details
Published: 18 November 2024

HABARI KWA UFUPI

Mkuu wa KKKT Askofu Dkt. Alex Malasusa amewataka Wakurugenzi wa Taasisi za Kanisa kuwa wabunifu katika kuendesha Taasisi hizo pamoja na kujifunza kwa wengine ili kuongeza ufanisi na kuweza kufanya vizuri katika kutoa huduma bora kwenye jamii.

Hits: 7993

Read more ...

MAHUBIRI YA JUMAPILI YA TAREHE 17.11.2024 SIKU YA BWANA YA 2 KABLA YA MAJIRIO

  • Print
Details
Published: 17 November 2024

NENO KUU: JIANDAE KWA HUKUMU YA MWISHO

NENO LA MAHUBIRI: Mathayo 25:14-30

UTANGULIZI

Leo ikiwa ni jumapili ya pili (2) kabla ya kuingia katika kipindi cha MAJIRIO, majira ambayo wakristo wote ulimwenguni wanayaangalia mambo makubwa mawili 1. Kukumbuka ujio wa kwanza wa Bwana Yesu hapa ulimwenguni ambapo miaka zaidi ya 2000 iliyopita alizaliwa na kuleta ukombozi kwa kila mtu aliyemuamini na wanaoendelea kumuamini hata sasa. 2. Jambo la pili ambalo sisi wakristo tunaliangalia katika majira haya ni maandalizi yetu kwa ajili kumpokea Bwana Yesu katika ujio wake wa pili, ambapo analijia kanisa lake katika hukumu ya mwisho.

Hits: 8451

Read more ...

Ibada ya Kipaimara Usharika wa Muheza , Youths Confirmation at Muheza Lutheran Parish

  • Print
Details
Published: 03 November 2024
HABARI KWA UFUPI:Ibada ya Jumapili Sikukuu ya Watakatifu iliyoongozwa na neno kuu lisemalo sisi ni wenyeji wa Mbinguni, Ibada imefanyika leo tarehe 03/11/2024 katika Jimbo la Tambarare Usharika wa Muheza na kuongozwa na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu.
 
Hits: 8001

Read more ...

Askofu Dkt. Mbilu:- jiungeni na Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS)

  • Print
Details
Published: 02 November 2024
 
Tarehe 02/11/2024 Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, alipatanafasi ya kuitembelea SACCOS ya Tumaini KKKT Handeni Savings and credit co-operative Society Ltd, iliyopo katika Jimbo la Magharibi Usharika wa Handeni kwa lengo na kuona namna SACCOS hiyo inavyoendeshwa.
 
Hits: 7710

Read more ...

  1. Siku ya Kukumbuka Matengenezo ya Kanisa (Reformation)
  2. Wanawake wajengewa uwezo kujikwamua kiuchumi
  3. Askofu Dkt.Mbilu awataka wazazi na walezi kuwapeleka Watoto wao Shule ya Sekondari Lwandai
  4. ASKOFU DKT.MBILU AONGOZA KIKAO CHA BODI YA KOTETI NA WADHAMINI

Page 16 of 137

  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • ...
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • ...

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese