ELCT North Eastern Diocese
Siku ya Kukumbuka Matengenezo ya Kanisa (Reformation)
- Details

Ikiwa leo tarehe 27/10/2024, katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, ni Siku ya Kukumbuka Matengenezo ya Kanisa (Reformation) Askofu Dkt. Mbilu amesema kuwa Kanisa litaendelea kukemea mafundisho potofu yaliyotanda katika ulimwengu na kuendelea kusimama katika msingi wa kuihubiri kweli ya Kristo.
- Hits: 9029
Wanawake wajengewa uwezo kujikwamua kiuchumi
- Details

- Hits: 8227
Askofu Dkt.Mbilu awataka wazazi na walezi kuwapeleka Watoto wao Shule ya Sekondari Lwandai
- Details

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt Msafiri Joseph Mbilu, amesema kuwa mwamko wa elimu katika Shule ya Sekondari Lwandai pamoja na Bangala Lutheran Junior Seminary ambazo zote zinamilikiwa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, umeongezeka zaidi ukilinganisha na hali ilivyokuwa hapo awali na kuwaomba wazazi na walezi kupeleka watoto wao katika Shule hiyo.
- Hits: 8219
ASKOFU DKT.MBILU AONGOZA KIKAO CHA BODI YA KOTETI NA WADHAMINI
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, akiongoza Kikao cha Bodi ya Taasisi ya Elimu ya Kolowa Technical Training Institute (KOTETI),kilichofanyika Makao Makuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Lushoto Tanga tarehe 17/10/2024 ambacho kilijumuisha wadhamini wa mali za KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.


- Hits: 7964
Page 17 of 137

