ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Mkuu wa Shirika la Michaeliskloster ziarani KKKT-DKMs

  • Print
Details
Published: 15 June 2024
Mkuu wa Shirika la Michaeliskloster lililoko Hildesheim, Hannover nchini Ujerumani, Mch. Prof. Jochen Arnold ameitembelea KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,ambapo ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake na leo tarehe 15/06/2024 akiwa katika Chuo cha Biblia Vuga na kutoa zawadi ya Keyboard nzuri ili isaidie mafunzo ya kozi ya muziki inayotolewa Chuoni hapo.
Hits: 8698

Read more ...

Wanafunzi wa kozi ya Masters ya Kimataifa ya Usimamizi/Uongozi wa Diakonia ziarani KKKT-DKMs

  • Print
Details
Published: 14 June 2024
Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amekutana na kufanya mazungumzo na Wanafunzi wa kozi ya Masters ya Kimataifa ya Usimamizi/Uongozi wa Diakonia ambao wameitembelea Dayosisi yetu kama sehemu yao ya mafunzo kwa njia ya vitendo.
Hits: 8925

Read more ...

Taarifa Ziara ya kikazi ya Baba Askofu Dkt. Mbilu nchini Philippines, kuanzia tarehe 15/5/2024 hadi 05/06/2024

  • Print
Details
Published: 05 June 2024

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amefanya Ziara ya kikazi nchini Philippines, kuanzia tarehe 15/5/2024 hadi tarehe 05/06/2024, Ziara hii iliyowezeshwa na chama Cha kiinjili Cha kimisioni, United Evangelical Mission (UEM) imekuwa na malengo ya kumuwezesha Baba Askofu kuhudhuria Makongamano mbalimbali ya Kimisioni katika Chuo Kikuu cha Silliman kilichopo katika Jiji la Dumaguete Mkoa wa Negros Oriental.

Hits: 10294

Read more ...

Pumzika kwa amani Bitrice David Mmbali

  • Print
Details
Published: 27 May 2024

Ufunuo 14:13“Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao”.

Katibu Mkuu wa KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mwl. Julius Madiga kwa niaba ya Uongozi wa KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, anasikitika kutangaza kifo cha Bitrice David Mmbali kilichotokea  tarehe 27/05/2024 katika Hospitali ya Mloganzila iliyopo Jijini Dar Es Saalam alipokuwa anapatiwa matibabu.

Hits: 8318

Read more ...

  1. Pumzika kwa amani Mchungaji Mstaafu Daniel Magogo
  2. Askofu Dkt. Mbilu akigawa vyeti kwa washiriki waliokuwa ziarani nchini Ujerumani
  3. TAARIFA YA TANZIA KUTOKA OFISI YA ASKOFU KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki
  4. KATIKA PICHA. Kikao cha kurugenzi ya Mipango Uchumi na Maendeleo KKKT-DKMs

Page 27 of 137

  • 22
  • 23
  • 24
  • ...
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • ...
  • 31

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese