ELCT North Eastern Diocese
Watumishi waandaliwa kukabiliana na mmomonyoko wa maadili
- Details

Msaidizi wa Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Michael Mlondakweli Kanju amesema kuwa kutokana na uwepo wa mmomonyoko wa maadili katika jamii Kanisa limeona ni vema kuandaa mafunzo ya kuwajengea uwezo Wainjilisti wa Dayosisi ili wakawe chachu na kutatua changamoto hiyo katika jamii.
- Hits: 9140
Tamati ya Ziara ya Mch Dkt. Albrecht Philips wa Kanisa la Westphalia Ujerumani
- Details

Mch Dkt. Albrecht Philips kutoka Kanisa la Westphalia (Evangelical Church of Westphalia) Ujerumani pamoja na msafara aliombatana nao, wamehitimisha ziara yao ya siku mbili ya kuitembelea KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), ikiwa ni pamoja na baadhi ya vituo vinavyo milikiwa na KKKT-DKMs, kwa lengo la kuona vituo hivyo vinavyofanya kazi ili kuweka nguvu ya pamoja katika kuviboresha ili viendane na wakati.
- Hits: 8533
Ziara ya Mchungaji Dkt. Albrecht Philips KKKT-DKMs
- Details

- Hits: 8367
Wachungaji watakiwa kuwa mstari wa mbele kukemea maovu
- Details


- Hits: 8683
Page 24 of 137

