ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Watumishi waandaliwa kukabiliana na mmomonyoko wa maadili

  • Print
Details
Published: 09 July 2024

Msaidizi wa Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Michael Mlondakweli Kanju amesema kuwa kutokana na uwepo wa  mmomonyoko wa maadili katika jamii Kanisa limeona ni vema kuandaa mafunzo ya kuwajengea uwezo Wainjilisti wa Dayosisi ili wakawe chachu na kutatua changamoto hiyo katika jamii.

Hits: 9140

Read more ...

Tamati ya Ziara ya Mch Dkt. Albrecht Philips wa Kanisa la Westphalia Ujerumani

  • Print
Details
Published: 08 July 2024

Mch Dkt. Albrecht Philips kutoka Kanisa la Westphalia (Evangelical Church of Westphalia) Ujerumani pamoja na msafara aliombatana nao, wamehitimisha ziara yao ya siku mbili ya kuitembelea KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), ikiwa ni pamoja na baadhi ya vituo vinavyo milikiwa na KKKT-DKMs, kwa lengo la kuona vituo hivyo vinavyofanya kazi ili kuweka nguvu ya pamoja katika kuviboresha ili viendane na wakati.

Hits: 8533

Read more ...

Ziara ya Mchungaji Dkt. Albrecht Philips KKKT-DKMs

  • Print
Details
Published: 07 July 2024
HABARI PICHA:
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, akiwa ameongozana na ugeni kutoka Kanisa la Westphalia (Evangelical Church of Westphalia) Ujerumani, unaoongozwa na Mch Dkt. Albrecht Philips.
Hits: 8367

Read more ...

Wachungaji watakiwa kuwa mstari wa mbele kukemea maovu

  • Print
Details
Published: 07 July 2024
 
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amewataka Wachungaji waliobarikiwa pamoja na Watumishi wengine wa Kanisa kuendelea kukemea matendo maovu na mafundisho potofu ya neno la Mungu yaliyotanda katika jamii na ulimwengu kwa ujumla ili kuwezesha jamii kuendelea kuishi kwa amani na utulivu.
Hits: 8683

Read more ...

  1. Tunzeni miundombinu ya Hospital hii
  2. Siku ya pili , Mkutano wa Wachungaji na Mashemasi KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki
  3. Wachungaji pamoja na Mashemasi wakumbushwa juu ya utumishi wao.
  4. Waziri Ofisi ya Rais Uwekezaji na Mipango awahimiza Wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCT kujikita katika uwekezaji

Page 24 of 137

  • 19
  • ...
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • ...
  • 26
  • 27
  • 28

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese