ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Pumzika kwa amani Mzee Dastan Mazimu

  • Print
Details
Published: 27 July 2024
HABARI KWA UFUPI:
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewakumbusha Wakristo kuishi maisha ya kumpendeza Mungu ili wawe na mwisho mwema. Askofu Dkt.Mbilu ametoa wito huo katika Ibada ya Mazishi ya Marehemu Mzee Dastan Mazimu yaliyofanyika katika Usharika wa Bumbuli tarehe 27/07/2024.
Hits: 9032

Read more ...

Mkesha wa Maombi kuiombea KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki

  • Print
Details
Published: 26 July 2024

MATUKIO KATIKA PICHA. Mkesha wa Maombi kuiombea KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, kutoka Jimbo la Tambarare Usharika wa Muheza Tarehe. 26/07/2024

 

Hits: 8611

Read more ...

Askofu Dkt. Mbilu atembelea Shamba la Irente Farm atoa pongezi kwa uongozi na wafanyakazi

  • Print
Details
Published: 25 July 2024

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, umeupongeza uongozi na wafanyakazi wa shamba la Irente Farm kwa kazi nzuri wanayoifanya na kuwataka kuongeza juhudi ili shamba hilo linalomilikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki lizalishe zaidi kulingana na ukubwa wake.

Hits: 8941

Read more ...

KKKT yawatoa hofu waumini uuzwaji wa eneo la SEKOMU

  • Print
Details
Published: 19 July 2024

KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania -Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), limewatoa hofu waumini kuhusu uuzwaji wa mali za kilichokuwa Chuo Kikuu cha kumbukumbu ya Sebastian Kolowa SEKOMU, kinachomilikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Upendo Media, Mkuu wa KKKT Askofu Dkt. Alex Malasusa na Askofu Dkt. Msafiri Mbilu wa KKKT-DKMs wamesema, Kanisa linaitunza jambo hilo kupitia KKKT-DKMs na kuwataka waumini wa KKKT nchini kote kuwa na utulivu wakati jambo hilo likifanyiwa kazi. "Napenda kuwajulisha waumini wote, uongozi wa KKKT-DKMs umekuwa ukifanyia kazi jambo hilo na ni matumaini yangu kuwa jambo hili litapata muafaka na kupewa taarifa rasmi. " alisema Askofu Dkt. Mbilu. Viongozi hao wametoa taarifa hiyo kufuatia tangazo la mnada wa eneo la Chuo hicho lililoonekana kwenye vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii na hivyo kuwaomba waumini kutulia. "Ni kweli tupo kwenye changamoto lakini jambo hili bado halijawa nje ya uwezo wetu na tunaamini kila kitu kitakwenda vizuri," alisema Askofu Dkt. Mbilu.

Hits: 8522

Read more ...

  1. Watumishi waandaliwa kukabiliana na mmomonyoko wa maadili
  2. Tamati ya Ziara ya Mch Dkt. Albrecht Philips wa Kanisa la Westphalia Ujerumani
  3. Ziara ya Mchungaji Dkt. Albrecht Philips KKKT-DKMs
  4. Wachungaji watakiwa kuwa mstari wa mbele kukemea maovu

Page 23 of 137

  • 18
  • 19
  • ...
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • ...
  • 26
  • 27

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese